Total Pageviews

Friday 18 December 2015

MAWAZO YANAPOFANYIWA KAZI - USHUHUDA WA MAWAZO KWENDA VITENDO


Sophie Kessy - Mkulima wa Vitunguu
Ni Mwanachama na Mkulima  pia Mtangazaji wa Clouds

Asante Mungu nauona utukufu wako ...asante mwanangu kwa moyo wa kusimamia shuhuli hii sio ndogo baba am so happy and proud of you Tariq Ferreje inshalah Mungu ni mwema...we are almost there Buberwa Robert




Napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza wewe dada Sophie Kessy kwa usikivu wako, nakumbuka siku ya kwanza ulipoomba ushauri, hadi ukakumbwa na mafuriko ambapo eneo kubwa lilisombwa na maji na kiasi kikubwa cha mazao kuchukuliwa na maji, ulinipigia na kuniomba ushauri na nilikushauri bila ya hiyana ulifanya kwa kupitia ushauri wangu na wa wadau wengine.

Wewe ni mfano wa kuigwa kwa kuwa uliamua kufuata maelekezo na sasa unaonekana shujaa.  Nafurahi sana wewe ni moja ya wapiganaji wangu.  Naomba wamama na wadada wengine mufuate  ujasiri huu naamini mtafanikiwa.

Hongera sana Sophie Kessy.




No comments:

Post a Comment