Total Pageviews

Tuesday 22 December 2015

KUROILER

Kuroiler ni kuku wenye asili ya india na zifuatazo ni sifa zao.


1. Wanafugwa kienyeji (ni kuku wa kienyeji au una weza kuwafuga kisasa kwa kuwaweka ndani ya banda ila wawe free)




2. Hawapati magonjwa kirahisi



3. Wanaanza kutaga wakiwa na miezi 5 



4. Wanataga miaka miwili.



5. Majogoo yanafika hadi kilo 5 na mitetea 3.5kg hadi 4kg



6. Wanataga mayai 250 na zaidi kwa mwaka. 



7. Mayai yake ni fertile ila hawalalii.  Mayai hutotoleshwa kwa incubators. 


8.  Wana nyama nyingi.

  


Wasiliana nasi 0765903379, upate kuunganishwa na wauzaji;

wanauzwa kwa order Kifaranga kimoja ni shilingi 2,500/=, kuanzia vifaranga  100 na kuendelea.


Mayai ya Kuroiler


Kuroiler




No comments:

Post a Comment