Total Pageviews

Thursday 17 December 2015

HYDROPONIC FODDER














Ni teknolojia ya kuotesha mazao kwa maji na virutubisho bila kutegemea udongo.

Ni kimea kinachooteshwa kwa kutumia mbegu za shayiri, ili kupata chakula cha mifugo, Ng'ombe, kuku, mbuzi,kondoo, nguruwe.

Ni kilimo kinachohitaji eneo dogo, maji kidogo, hakuna haja ya udongo.

FAIDA

Ni rahisi kufanya kilimo hiki mahali popote.  Husaidia kuvuna na kupata mazao mengi kwa muda wa siku 7 pia inapunguza matumizi ya fedha kwa kununua majani, pumba kwa ndege na wanyama.

Haona madhara kwa afya za wanyama na ndege.

ULIMAJI

Kilimo hiki kinahitaji;
1. Banda maalumu la ukubwa wowote.
2. Trei za plastiki au aluminiam zenye matundu (hakikisha zisiwe na material inayozalisha kutu)
3. Virutubisho kama vile Di.Grow (green)
4. Chupa za kunyunyizia maji (sprayer)
5. Mbegu za shayiri au ngano (zisiwe zimeshambuliwa na wadudu)
6. Chombo la kulowka mbegu
7. Kitambaa cheupe




Jaribio nililofanya mwenyewe 





mbuzi akila 


ng'ombe akila


kondoo akila

 Trei 



eneo dogo mavuno mengi












CHANGAMKA MKULIMA 

Kwa mawasiliano 
+255765903379
buberwamujuni@gmail.com

Facebook: FREBU Poultry Farm Page



No comments:

Post a Comment