Total Pageviews

Monday 14 March 2016

Jinsi unavyoweka Uma na Kisu. Je unaelewa maana yake?


Hizi ndizo maana halisi za uwekaji uma na kisu kwenye sahani
1. Napumzika
2. Nahitaji Kuongeza
3. Chakula Kizuri sana
4. Nimemaliza
5. Sijakipenda Chakula

Sasa, ndugu yangu huwa ukienda sehemu unaachaje uma na kisu chako?  

No comments:

Post a Comment